Habari yenu Wakuu. Naomba msaada wenu wa maelekezo vitu gani vinahitajika kupata visa ya kwenda aidha Cyprus,Turkey au Holland.
Kati ya hizo nchi 3 ipi ni rahisi kidogo suala la kupewa visa kwa Mtanzania?
Nikitumiwa Barua ya Mualiko na Mwenyeji wangu akisema yeye atakua Responsible kwangu Financially mda wote wa ziara yangu.
Je nitaombwa Bank Statement? Sababu sina uwezo Wakuu wa kuji sponser (nimetokea familia ya kimaskini) na sina ajira kwa kipindi hiki.
Tafadhalini ndugu zangu nahitaji msaada wenu wa maelekezo. Nipo serious. natanguliza shukrani zangu za dhati
🙏 Asanteni.
Kati ya hizo nchi 3 ipi ni rahisi kidogo suala la kupewa visa kwa Mtanzania?
Nikitumiwa Barua ya Mualiko na Mwenyeji wangu akisema yeye atakua Responsible kwangu Financially mda wote wa ziara yangu.
Je nitaombwa Bank Statement? Sababu sina uwezo Wakuu wa kuji sponser (nimetokea familia ya kimaskini) na sina ajira kwa kipindi hiki.
Tafadhalini ndugu zangu nahitaji msaada wenu wa maelekezo. Nipo serious. natanguliza shukrani zangu za dhati
🙏 Asanteni.