Ahsante sana.
Unaweza nitajia topic za math na geog za f.5
math;calculatng device, differtiatn&integratn, algebra1, set, numerical methd, statistics1, cordinate geometry1, linear programng,
geog1 chek pysical geograpy ina part nyng(,theory of the earth, gemorphology, water mass, climatology na zingnezo kma nimesahau also geog 1 kuna practical geog topic kma photo,survey, research,statistics! Xo kwenye hzo topic 4 mtihan unajibia topic moja tuu, xo kama una uwezo zisome zote au kma huna uwezo hakikisha mbili kati ya hzo uko fitt! Overrrr
Dah umenipa mwanga wa kuanza kujisomea ahsante
dgo upo mkoa ganii? Mda wote huo tang mwenz wa 10 mwaka jana! Au hta baada ya kutoka matokeo tena mara zte mbili, ki ukwel ulitakiwa uwe ushaua angalau topic mbili au tatu za mwanzo kutoka kila somo kwenye combination yako! Ila co kesi kama upo dar kuhusu math nenda kariakoo kwa mwaramy/mwaramsha kuna notes za topic zte, so ela yako 2! Upnde wa geography nenda msimbaz centre kwa mtegetwa, kuhusu uchum sasaa mitaa flan ya ubungo nyuma ya ubungo plazaa ulizia pizzoo tuition centre! Overrr...!
Unanisaidiaje kwan cja soma tution, alaf cjui vitab gan vzur au material yanapatikana wap mazur
nenda shule...hizo tuishen zimepoteza wengi. nilisoma Njombe sec bila kuijua tuishen na nikapata B ya pure., kikubwa ni kujitambua tu
duuh! Nakataa had keshoo hiyo B yako ya math ulipata either kwa
1. Kuiba mtihan(mtihan kuvuja)
2.mlikuwa na mwalimu mzuri wa namba
3.Au ulikuwa unawasumbua wenzio waliosma tuition wakufundishe.
all in all ucdhan sifa kuongea uongoo mbele za watu, nan kakwambia kwa shule zetu za serikali hzi hasa kwenye masomo ya pure math, physics, chem,bios, bila tuition utatokaa! NB labda mwenzetu hujui maana ya tuition? Plz dfne Tuition kwanza alafu ndo uje jf tena! Overrr
Nakataa unayoyaongea mkuu... Mimi nimesoma PCM oldmoshi secondary. Nilimaliza pale mwaka 2009... Sikuwahi kusoma tution. Na mwalimu wa namba pale sio mzuri saana..anaitwa kinunda Waliosoma maeneo ya moshi wengi watakua wanamjua. But still kwa kuonesha tu kujitambua na kusoma kwa bidii.i was able to get AEA in pcm. Mwalimu wa physics kusema kweli alikua mzuri na ntamkumbuka daima mr.msami a.k.a pdidy... Soo usiwakatishe tamaa madogo. Yote yanawezekana with focus n trying to work hard
Nakataa unayoyaongea mkuu... Mimi nimesoma PCM oldmoshi secondary. Nilimaliza pale mwaka 2009... Sikuwahi kusoma tution. Na mwalimu wa namba pale sio mzuri saana..anaitwa kinunda Waliosoma maeneo ya moshi wengi watakua wanamjua. But still kwa kuonesha tu kujitambua na kusoma kwa bidii.i was able to get AEA in pcm. Mwalimu wa physics kusema kweli alikua mzuri na ntamkumbuka daima mr.msami a.k.a pdidy... Soo usiwakatishe tamaa madogo. Yote yanawezekana with focus n trying to work hard