Msaada vodacom customer care

neyl

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
127
Reaction score
19
habari, me nmegraduate sheria juz juz tu, nlwah kusikia tetesi kwenye daladala kwamba vodacom pale mliman city kuna nafasi za kumwaga za customer care ila wanalipa mshahara mdogo, jaman kwa mwenye details ni kwel? me natafuta kaz hata ya lak na nusu kwa mwez nafanya
 
Hivi huwa ni ngumu kwenda kwa ofisi kuonana na maHR kuongea nao mawili matatu kuhusu kazi na utaratibu mzima wa kuapply?
 

Vodacom customer care mshahara wao ni 500,000 tshs kasoro 5000, that means ni 495,000 /= tshs, hiyo ni mpaka mara ya mwisho niliambiwa na rafiki yangu anayefanya huko, na hiyo ilikuwa July this year, kwa wewe unayeanza si mbaya kwa hela hiyo,itakusaidia kuipendezesha CV yako na hata kuweza pata nafasi ya kazi kwingine, mwanzo mgumu mpendwa, just nenda, na kwa urahisi peleka CV yako kwa erolink

ALL THE BEST AND GOOD LUCK
 
peleka cv yako erolink pale morroco hao ndo agent wa kurecruit customer care vodacom
 
peleka ila usibweteke tu mimi nimefanya karibu miaka miwili sasa toke nipo chuo mwaka wa kwanza kama pt but ile kazi haina tija ila kama unatafuta uzoefu ni bora uombe mahali ufanye intern .all da best
 

sa kwa mshahara huo c bora mtu uingie zako jeshini ukale maisha.
 
kuna dada akiingia pale km wewe 2007 alikuwa na degree ya sheria, after six month akapata zali akahamishiwa kitengo cha sheria cha voda mpaka leo yupo! so usikate tamaa kwa kuanzia si pabaya
 
jinsi ya kupata huo mchongo wa kuingia ndo ki2 kinacho hitajika!
 
4m 6 liva, vp mnanshaur niende peleka ma cv

Peleka wanachukua hadi 4m 6 ila make sure unamwaga ung'eng'e fluently na uwe mtamu kwenye computerhizo ndio silaha.. bora ujaribu kuliko kuacha.. Komaaa nao
 
Pia peleka Spanco wakala wa eyateli ... wao wanalipa kwa masaa yaani kila saa 12,000/-
 
So mkali, unaweza tupa direction jinsi ya kufika hapo SPANCO. i'll appreciate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…