Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wana experience naomba msaada jamani
vyakula gan vizuri mama mzazi kuongeza mtotot mi ni mchaga mkewangu
kaambiwa apewe mlaso ile maziwa ya mtindi,damu ya kisusio na vinginevyo amekataa kwa wanaojua naomba aidia zenu tuwasaidie na wengine;hili ni tatizo kubwa sana pale muhmbili nimeona wanamama wanajifungua wanaletewa nyumban ugali maharage na kuku paja pembeni...just siku ya 2..baada e chips mayai..wangu nimempa mtori maziwa supu yanatoka kidogo nataka yamwagike kama tanki la dowassa jamani katoto nacho ka feel kako dunian
vyakula gan vizuri mama mzazi kuongeza mtotot mi ni mchaga mkewangu
kaambiwa apewe mlaso ile maziwa ya mtindi,damu ya kisusio na vinginevyo amekataa kwa wanaojua naomba aidia zenu tuwasaidie na wengine;hili ni tatizo kubwa sana pale muhmbili nimeona wanamama wanajifungua wanaletewa nyumban ugali maharage na kuku paja pembeni...just siku ya 2..baada e chips mayai..wangu nimempa mtori maziwa supu yanatoka kidogo nataka yamwagike kama tanki la dowassa jamani katoto nacho ka feel kako dunian


