Hongera sana mwanahalisi kwa kupata mtoto,
vyakula vya vimiminika vya mooto kwa kawaida husaidia uzalishaji wa maziwa ya mama kwa wingi, lakini pia viwe na virutubisho vinavyohitajika.
mpe uji wa ulezi, mtori, supu (hivi ni vyakula vinavyotumiwa sana na wachaga na vina taste nzuri piaupishi wako tu) maziwa fresh kwa sana bila kusahau matunda na mbogamboga. ila huo mnasu nishaona wanavyotengeneza haki nilionja nikatapika cku nzima inataka moyo, nackia zamani wamama wa kichagga walishikiwa fimbo amalize lita!