Msaada: Vyakula vya kutungisha Mimba

Maisha sio magumu namna hiyo, tuhangaike na Bei za mafuta, mgao wa umeme, foleni na mambo mengine, Bado na haya ya kawaida kabisa?

Ukiona unakula vyakula hivi hivi vya kawaida na imetokea mambo hayajaenda sawa, jaribu kuwaona wataalamu lakini sifikirii itakua ni kukosa aina ya chakula.
 
Hivi kuna uhusiano kweli kati ya zoezi la kutungwa kwa mimba na vyakula tunavyokula!! Au inawezekana lile somo la Reproduction lilinipitia kushoto!!
 
Hivi kuna uhusiano kweli kati ya zoezi la kutungwa kwa mimba na vyakula tunavyokula!! Au inawezekana lile somo la Reproduction lilinipitia kushoto!!
Vina uhusiano mkuu.
Manii yanatakiwa yawe na ujazo.wa kutosha pamoja na yawe na uzito wa kutosha ili kuogelea kwenye bwawa la ukeni na kulifikia yai kutungisha mimba.
Kama unakula machips na broila ujue kutakuwa na walakini mahala fulani
 
Mbegu za maboga, karanga, Nazi , tikiti, tangawizi, limao, kitunguu maji, asali. Na ule ushibe vizuri, matunda Kwa wingi, na maji ya kutosha. Ukishindwa basi shuka daraja
 
Jitahidi kula kitimoto kwa sana itakusaidia
 
Nimeona kwa haraka haraka hapa tikiti, tangawizi, karanga, nazi zimepewa chapuo sanA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…