Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari zenu wadau JF.?Nina ndugu yangu kachaguliwa kwenda kusoma MUSOMA form VMchepuo wa HGE.
Sasa nimejaribu kuulizia hiyo MUSOMA ni shule ipi Marasekondari au MUSOMA TECH SEC..? Naomba msaada kwa anayejua walipoandika MUSOMAwana maanisha shule ipi? Nimeambiwa hakuna shule inayoitwa MUSOMA. Ikiwezekananipate na contact zao. Natanguliza shukrani.!
Sasa nimejaribu kuulizia hiyo MUSOMA ni shule ipi Marasekondari au MUSOMA TECH SEC..? Naomba msaada kwa anayejua walipoandika MUSOMAwana maanisha shule ipi? Nimeambiwa hakuna shule inayoitwa MUSOMA. Ikiwezekananipate na contact zao. Natanguliza shukrani.!