Msaada wa anayejua tiba mbadala ya dysmenorrhoea

Msaada wa anayejua tiba mbadala ya dysmenorrhoea

Bishop Hiluka

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,147
Reaction score
14,699
Kuna dada mmoja anasumbuliwa sana na tatizo la kupata maumivu
makali anapokuwa kwenye menstruation (dysmenorrhoea), jambo
linalomnyima raha. Amejaribu sana tiba za hospitali bila mafanikio
na alishauriwa kuwa asubiri atakapopata mtoto tatizo litakwisha.
Tulikuwa katika maongezi ya kawaida tu akagusia jambo hilo kwetu.
Kama kuna yeyote anayejua kuhusu tiba ya tatizo hili anijuze ili
nimsaidie...
 
Back
Top Bottom