Msaada wa anayeweza kunishika mkono kwenye biashara.

mohamedidrisa789

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
5,258
Reaction score
22,552
Natafuta mtu wa kunishika mkono kwenye kuanza biashara.mtaji wangu ni mdogo tu kama 1,400, 000/=.sichagui biashara kikubwa iwe inaingiza tu ela.

Matapeli kaeni mbali na hii post maana sijatoka bush jana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

0749247920.
 
Ukiingia huko kwenye biashara na kazi za Umeme atakua anatufanyia nani?
 
hata biashara yenyewe unayotaka fanya hujiui?

kalale aisee
 
una hela na huna hata idea uifanyie biashara gani huna hata 1 yani
 
Aaah kazi kuisifia Urusi, nenda kapigane vita
 
Endelea kufanya hiyo biashara iliyokufanya upate 1.4m au ni za urithi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…