Kwa macho ni quartz au topaz, mm nna kg 70 ya hayo mawe cheki sample
Nna kg na kg ya hayo mawe hapa kwangu mkuuDaah ni hayohayo mkuu wangu hakuna tofauti,
Hizi ni feldsper nyeupe lkn syo quartzDaah ni hayohayo mkuu wangu hakuna tofauti,
Ni transparency Gemstone, tabia zake ni kama za tourmaline sema kuna tofauti ya rangi.
Wewe ni mjinga sana na wala hujielewi, jiwe lolote ni madini tofauti ni huitajika wake tu na hilo pichani siyo Gemstone ni biashara ya tons. Ndoorooobo wewe acha kuingilia field za watu without know how.
Mkuu hiyo ni quartz...mm nyumbani nna makilo ya hayo mawe kuna wakati nlikuwa na ya chimbaNashukuru mkuu
Mkuu hiyo ni quartz...mm nyumbani nna makilo ya hayo mawe kuna wakati nlikuwa na ya chimba
Haya mawe yanauzwa kwa kg hadi tons, kg sahv ni zaidi ya sh 10000/ inategemea na size ya Mawe haya.wadau naomba kufahamishwa hayo mawe yana thamani kiasi gani..kuna sehemu nakumbuka yalikuwepo mengi
duh jiwe lolote ni madini??? kuna tofauti ya jiwe na madini jaman..
by the way hilo jiwe kwa picha hapo ni vigumu mtu kulifanyia identification kuna itajika vitu vingi..
so kwa geologists lazma awe physical intouch na hilo jiwe..
kwa mbali kama ni likwazi flani ivi tena smokey quartz ila sio jibu la mwisho...
beba mzigo nenda nao kwa wataalamu..njoo hata udsm idara ya miamba utapewa jibu...
achana na matola...matusi kibao hana busara
...mkuu American nigga hebu fuata ushauri wa monoclinic atakusaidia, achana na Matola ana kila dalili za uj..ambazi , na ukiingia anga zake atakuua ukipata fedha. be careful kwenye kudeal na watu tunajua tabia za wahalifu hata kwa sentensi mbili tu unajua jizi na jambazi hawajifichi ukiwa makini utawabaini tu...
Ili uidentify jiwe inabidi uanze na phiysical properties(kwa macho yenye kufunzwa),light Refrective index(inapimwa na refractometer) ,specific density e.tc ,hivyo kwa uzoefu wangu wa physical property analysis hiyo ni quarts ambapo kwa kilo tena iliyo safi kuliko hii ni tshs 60,000 au around,au yaweza kuwa volcanic glass yenyewe ni madini yasiyo na dhamani kwani sio gemstone hayana specific crystal structure,in short kama ni mgodi invest italipa kuliko duka la simu ila hutokuwa bilionaire ni kazi ya kawaida kama kuchimba mchanga
Wewe ni mjinga sana na wala hujielewi, jiwe lolote ni madini tofauti ni huitajika wake tu na hilo pichani siyo Gemstone ni biashara ya tons. Ndoorooobo wewe acha kuingilia field za watu without know how.