Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Wadau hbari zenu, bila poteza muda naomba msaada wa sehem ambayo ntapata apartment ya kulipia mtu anakaa siku3 tu. Hapa dsm kuna zle apartment mtu anaweza kodi kwa siku kazaa then anasepa.
Maeneo yawe mazuri kama Upanga, Masaki, Mikocheni, Mbezi beach nk. Mtu nakuja na family akiwa na mke na watoto 2
Nenda palm village mikocheni..
Ingia airbnb kuna apartments mpaka za dollar 11, 15, kwa siku upanga, mikocheni yani ni wewe tuWadau hbari zenu, bila poteza muda naomba msaada wa sehem ambayo ntapata apartment ya kulipia mtu anakaa siku3 tu. Hapa dsm kuna zle apartment mtu anaweza kodi kwa siku kazaa then anasepa.
Maeneo yawe mazuri kama upanga, masaki, mikocheni, mbezi beach nk. Mtu nakuja na family akiwa na mke na watoto 2
Sema maximum unaweza lipia kiasi gani...maeneo uliyotaja sio ya mchezo mchezoPalm gharama sana
Sisi huku uswazi kuna madalali wa vyumba mambo ya apatimenti hatuyajui kwani kiingereza chetu ni cha kuungaunga, jaribu kwenda Namanga wanapouza maua au zile baa eneo la Morogoro stoo.Wadau hbari zenu, bila poteza muda naomba msaada wa sehem ambayo ntapata apartment ya kulipia mtu anakaa siku3 tu. Hapa dsm kuna zle apartment mtu anaweza kodi kwa siku kazaa then anasepa.
Maeneo yawe mazuri kama upanga, masaki, mikocheni, mbezi beach nk. Mtu nakuja na family akiwa na mke na watoto 2
Sema maximum unaweza lipia kiasi gani...maeneo uliyotaja sio ya mchezo mchezo
Application Airbnb ndo kila kitu hata usihangaike.
Wasiliana na host wako Kaka ili mpeane means ya kulipia. Mimi hua najitahd kufika na kukagua kwanza ndo nalipia wengine wanawekaga picha za uongo unakuta kiuhalisia na ulivoona Ni tofauti kabisa.Nmeona malipo unatumia card au paypal. Sio unalipia afu unakuta walishawai
Mambo ya kufikia kwa ndugu yalishapitwa na wakati, ndugu wenyewe hamchelewi kuja kuwasimanga ndugu zenu hapa JF.😜😜Huna ndugu hapa daslam?
Wasiliana na host wako Kaka ili mpeane means ya kulipia. Mimi hua najitahd kufika na kukagua kwanza ndo nalipia wengine wanawekaga picha za uongo unakuta kiuhalisia na ulivoona Ni tofauti kabisa.
Aende JC apartment ,wapo vyema na gharama ni nafuu na wana aina na ukubwa tofauti wa apartments ,wapo mbezi beach karibu na kanisa la mt kizito
Ukisha fanya booking Kuna sehem ya kufanya mawasiliano na Host wa hyo apprtment kwa njia ya email na kutuma msg kupitia hyo app kibaya Zaid hii App hamna namba za sim app itakua hairuhusu kuweka namba za sim kuepusha upigaji.Contact napataje kaka nikichek kwa app sion
Ukisha fanya booking Kuna sehem ya kufanya mawasiliano na Host wa hyo apprtment kwa njia ya email na kutuma msg kupitia hyo app kibaya Zaid hii App hamna namba za sim app itakua hairuhusu kuweka namba za sim kuepusha upigaji.
Komaa nao kwa email ndo njia rahis huko ndo utaweza pata namba ya sim.