Msaada wa battery ya Nokia 2.1

Msaada wa battery ya Nokia 2.1

Agera 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
4,088
Reaction score
4,226
Za asubuhi wakuu


Naulizia kwa hapa bongo wapi nitapata battery ya simu tajwa

Naipenda huwa kanatunza chaji Sana toka 2019 mwanzoni Hadi Sasa . Week ya pili Sasa nasikia harufu Kama ya lithium battery karibu na port ya kuchajia simu na naona Kama self discharge Ni kubwa Sana ..an average of 5%/h

Matumizi full charge to 30% sio zaidi ya 5hrs ( screen on Ni 90% ya hayo masaa ) kifupi muda mwingi kioo kinawaka inatumika


Naona Kama imeanza vimba ukiangalia ncha ya kava la ku protect battery

Msaada nitapata wapi Hilo battery
 
Back
Top Bottom