Msaada wa bei/mlioko dar

Msaada wa bei/mlioko dar

Steven Sambali

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2008
Posts
364
Reaction score
182
Wana JF,
Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka katika shida ya kupanda kwa bei.

1. Bei gani kuweka katangazo kadogo katika gazeti.
2. Bei gani kutangaza redioni tangazo la dakika 1.
3. Bei gani kununua komputer (Desktop PC), monitor, keyboard na mouse na kwa hili itakuwa vema kama ntapata anwani ya wauza computer walioko hapo Dar ili niwasiliane nao. Isiwe ya zamani sana au mpya sana. Tuseme kitu kama Inter Duo 1.8Ghz (not intel 2 duo).
4. Bei ya kutumia internet cafe kwa saa moja kwa mji wa Dar es Salaam. Kama kuna sehemu wana ukumbi wa mkutano (ukiacza Daza yaani UDSM) na humo wana computer na internet basi ni poa zaidi.
5. Kukodisha chumba cha mkutano tuseme cha watu kama 50 kwa saa matatu katika hoteli ya middle class.
6. Bei ya ku-print vitu kama Flyers, visiting cards etc

Thanx in advance.
 
Vijana hapo bongo, changamkieni hiyo kitu hapo, unaweza kuwa supplier of some items listed!
 
Wana JF,
Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka katika shida ya kupanda kwa bei.

1. Bei gani kuweka katangazo kadogo katika gazeti.
2. Bei gani kutangaza redioni tangazo la dakika 1.
3. Bei gani kununua komputer (Desktop PC), monitor, keyboard na mouse na kwa hili itakuwa vema kama ntapata anwani ya wauza computer walioko hapo Dar ili niwasiliane nao. Isiwe ya zamani sana au mpya sana. Tuseme kitu kama Inter Duo 1.8Ghz (not intel 2 duo).
4. Bei ya kutumia internet cafe kwa saa moja kwa mji wa Dar es Salaam. Kama kuna sehemu wana ukumbi wa mkutano (ukiacza Daza yaani UDSM) na humo wana computer na internet basi ni poa zaidi.
5. Kukodisha chumba cha mkutano tuseme cha watu kama 50 kwa saa matatu katika hoteli ya middle class.
6. Bei ya ku-print vitu kama Flyers, visiting cards etc

Thanx in advance.

Kijana, kama members hawakupi ushirikiano wakutosha nakushauri ipeleke hii kwenye thread ya INVISIBLE ''Request what you need'' anaweza kukusaidia!

Request what you need

--------------------------------------------------------------------------------

Books?

Toutorials?

Movies?

Then we can help... Just post your request and we'll help you get it IF POSSIBLE!

Invisible
 
Duu, yaani kimya kabisaaaa.
Labda niseme kuwa nitahitaji kama computer 10 mpya zikiwa na monitors/keyboards zake kabisaa.
Juu ya hizo vitu kama Flyers, visiting cards etc zitahitajika zaidi ya 10,000. Kwa chumba ni kuwa nitahitaji kuchukua internet cafe nzima kwa siku kadhaa. Hivyo hizo deal zote kwa kweli si hela ndogo. Nahitaji kujua hizi bei kwani kuna jamaa wanataka kuja kufanya project zao kusaidia WAJASIRIMALI hapa Tanzania. Watategemea kuonana na wajasirimali mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma na Mwanza. Hivyo kabla hawajaja, inabidi kwa wakubwa zao waende waonyeshe bei zikoje na hao Maboss wao waweze kugawa hizo pesa na kama kawaida ya Wazungu, au wao au kupitia balozi wao (wizara ya mambo ya nje) watakuja na kutaka kuona hela zao zimekwenda wapi. Hivyo kila kitu kitakuwa na risiti zake kabisa na si mambo ya kitapeli.
Najua deal kama hili mafisadi wangelitemea mate. Ila kwa watu wa kawaida inaweza kuwa hela nzuri. Niliwapigia COSTECH ila ukumbi wao unafanyiwa matengenezo na haijulikani kama watafungua tena. Kama kuna ukumbi mwingine wenye computer na internet itakuwa safi sanaaa.
 
Back
Top Bottom