Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 364
- 182
Wana JF,
Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka katika shida ya kupanda kwa bei.
1. Bei gani kuweka katangazo kadogo katika gazeti.
2. Bei gani kutangaza redioni tangazo la dakika 1.
3. Bei gani kununua komputer (Desktop PC), monitor, keyboard na mouse na kwa hili itakuwa vema kama ntapata anwani ya wauza computer walioko hapo Dar ili niwasiliane nao. Isiwe ya zamani sana au mpya sana. Tuseme kitu kama Inter Duo 1.8Ghz (not intel 2 duo).
4. Bei ya kutumia internet cafe kwa saa moja kwa mji wa Dar es Salaam. Kama kuna sehemu wana ukumbi wa mkutano (ukiacza Daza yaani UDSM) na humo wana computer na internet basi ni poa zaidi.
5. Kukodisha chumba cha mkutano tuseme cha watu kama 50 kwa saa matatu katika hoteli ya middle class.
6. Bei ya ku-print vitu kama Flyers, visiting cards etc
Thanx in advance.
Naomba kwa wale walioko Dar es Salaam au una habari kamili ya bei ya hivi vitu vifuatavyo. Navihitaji haraka sana. Ntaomba iwe bei ya juu ambayo unaweza kuipata ili kutokuanguka katika shida ya kupanda kwa bei.
1. Bei gani kuweka katangazo kadogo katika gazeti.
2. Bei gani kutangaza redioni tangazo la dakika 1.
3. Bei gani kununua komputer (Desktop PC), monitor, keyboard na mouse na kwa hili itakuwa vema kama ntapata anwani ya wauza computer walioko hapo Dar ili niwasiliane nao. Isiwe ya zamani sana au mpya sana. Tuseme kitu kama Inter Duo 1.8Ghz (not intel 2 duo).
4. Bei ya kutumia internet cafe kwa saa moja kwa mji wa Dar es Salaam. Kama kuna sehemu wana ukumbi wa mkutano (ukiacza Daza yaani UDSM) na humo wana computer na internet basi ni poa zaidi.
5. Kukodisha chumba cha mkutano tuseme cha watu kama 50 kwa saa matatu katika hoteli ya middle class.
6. Bei ya ku-print vitu kama Flyers, visiting cards etc
Thanx in advance.