Msaada wa biashara na Amazon

NAXFRA

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
392
Reaction score
74
nimepublishi vitabu viwili kupitia amazon/kindle publishing direct,, imeniwia vigumu kusabmit taarifa za benk yangu, maana wanaomba vitu abavyo sina kabis. Mfano check namba, mwenye uelewa anisaidie, maana nawasiliana nao kwa email kila wkinipa option zao, jina la nchi ya Tanzania haliji

matusi na kejeli vinaruhusiwa, ilimradi mie nielewe tu
 
Nashukuru sana, nmefungua na nasubiria aprove
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…