Msaada wa biashara

ethicx

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
311
Reaction score
126
Habari zenu wana JF naomba ushauri kuhusu biashara. Nina mtaji kama milioni moja nahitaji kufanya biashara yoyote ambayo itaniongezea kipato zaidi. Je ni biashara gani naweza kufanya na ikanilipa haraka.
 
Hizi thread zinajirudia sana, Tatizo kila mtu anataka kuanzisha yake, mkuu wazo la biashara hutokana na wewe Kusoma, Machapisho mbalimbali ya biashara, vitabu, Kutazama TV za makala ya Biashara, Kutembea na kazalika, sasa kama kufukua humu kutafuta thread umeshindwa biashara utaweza kufanya? Jaribu kupitia thread mbalimbali humu utakutana na Aidea zisizo pungua 1000
 
Mimi ndio kwanza mgeni humu bt anyway thanks
 
Habari zenu wana JF naomba ushauri kuhusu biashara. Nina mtaji kama milioni moja nahitaji kufanya biashara yoyote ambayo itaniongezea kipato zaidi. Je ni biashara gani naweza kufanya na ikanilipa haraka.

vizuri useme biashara unayofikiria then watu wakupe mwongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…