Nimesikia katika kipindi cha Nipashe Radio One kuwa Bunge limetoa kilo 3000 za mchele na unga pamoja na kilo 15 za sukari na kiloo ? za mbegu, je idadi ya wahanga imefikia wangapi hivi sasa?
Shukuru kwanza kabla ya kuanza kufanya hayo mahesabu ya darasa la nne.
Nilidhani ungeuliza Vyama vya matajiri kama shirikisho la wenye wiwanda, chama cha wamiliki wa mabasi ya mikoani, chemba ya wanyabiashara mbona hatuwasikii?
Shukuru kwanza kabla ya kuanza kufanya hayo mahesabu ya darasa la nne.
Nilidhani ungeuliza Vyama vya matajiri kama shirikisho la wenye wiwanda, chama cha wamiliki wa mabasi ya mikoani, chemba ya wanyabiashara mbona hatuwasikii?