Double K
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 907
- 342
Habari wana jf,
nina mtoto mchanga nilikuwa namnyonyesha tu, sasa ni miezi mitano na nimeanza kazi nahisi maziwa yangu pekeyake hayamtoshi hashibi. nilianza kumpa maziwa ya SMA ila anaharisha sijui ni mwanzo au nifanyeje. naomba anayejua lishe au chakula cha kumpa ili nianze kumpa. asanteni.
nina mtoto mchanga nilikuwa namnyonyesha tu, sasa ni miezi mitano na nimeanza kazi nahisi maziwa yangu pekeyake hayamtoshi hashibi. nilianza kumpa maziwa ya SMA ila anaharisha sijui ni mwanzo au nifanyeje. naomba anayejua lishe au chakula cha kumpa ili nianze kumpa. asanteni.