wakuu,ni wapi kwa hapa dar wanachoma chanjo kwa ajili ya safari na bei yake ikoje?
Natanguliza shukrani..
asante sana,na bei zao zikoje ili nijipange?
mmmh Chanjo za safari?!! Nimetoka kapya!
Wakuu, ni wapi kwa hapa Dar wanachoma chanjo kwa ajili ya safari na bei yake ikoje?
Natanguliza shukrani.