Msaada wa cheti kutambuliwa

Msaada wa cheti kutambuliwa

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Nabii hatambuliki kwao!! Utendaji wa nacte na mfumo wa utoaji elimu nchini ni wa kizamani sana. The London School of Journalism-LSJ inatoa degree na diploma zinazotambuliwa kote duniani iwe kwa distance learning au mifumo mingine. Inashangaza kuona nacte wanasusua ku-accredit cheti changu cha diploma ingawa wamekiri LSJ ni moja ya vyuo vya nje vinavyotambuliwa na Serikali! Naomba ushauri kwa sasa ni mwaka tangu nianze kufuatilia
 
Back
Top Bottom