Habari za asubuhi wadau. Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha nne 2013, matokeo yake amepata div IV ya 33, ana C ya Biology, D ya Physcics na E ya Chemistry na D ya Maths. Sasa naomba msaada kama kwa matokeo hayo anaweza kupata chuo asome certificate in Nursing, na msaada wa vyuo vizuri vinavyotoa kozi hiyo. Natanguliza shukrani