Msaada wa chuo

Msaada wa chuo

0767854945

Member
Joined
Jul 5, 2013
Posts
74
Reaction score
2
Kuna rafiki yangu amechaguliwa kusomea ukutubi na ualimu ipi ni course nzuri kati ya hizi kimasirahi jamani msaada wenu tafadhari
 
Maslahi yanaweza kuwepo ktk ualimu inahitajika uvumilivu ila kwenye huo ukutubi siwezi sema lolote kwa kuwa sina experience na hayo mambo kama kuna yeyote aelewae kuhusu hilo aongezee.
 
sasa ndugu yangu unataka kusoma maktaba hutapata wapi ajira bora ungesoma edu coz maktaba xa taifa ipo 1 tz

Kwanza sio mimi muhusika mi imekuwa kama katika kumsaidia mtoa mada, Ila ahsante sana kwa ufafanuzi najua hata yeye mwenyewe jibu atakuwa amelipata.
 
Back
Top Bottom