Msaada wa connection kupata accessories za simu Dubai

Msaada wa connection kupata accessories za simu Dubai

maboga47

Member
Joined
Jul 2, 2020
Posts
29
Reaction score
37
Habarini wakuu

Nahitaji kwenda Dubai kununua accessories za simu hivyo ninaomba Kwa mtu mwenye uzoefu aweze kunipa mwongozo na connection kufanikisha Hilo

Natanguliza shukurani:-
 
Ndugu mjasiriamal naomba nkuulze machache..
1. Unauzoefu na izo accesories
2.ushawah kwenda ata apo uganda kufunga mzgo kabla ya kwenda dubai?
Ukinjbu haya ntakupa screan shot ya kukushaur nn ufanye nn uache
 
Ndugu mjasiriamal naomba nkuulze machache..
1. Unauzoefu na izo accesories
2.ushawah kwenda ata apo uganda kufunga mzgo kabla ya kwenda dubai?
Ukinjbu haya ntakupa screan shot ya kukushaur nn ufanye nn uache
Nina uzoefu na hii BIASHARA takribani miaka 7 mkuu lkn Uganda skuwahi kwenda mara nyingi Huwa naishia kuchukua mzigo dar
 
Habarini wakuu

Nahitaji kwenda Dubai kununua accessories za simu hivyo ninaomba Kwa mtu mwenye uzoefu aweze kunipa mwongozo na connection kufanikisha Hilo

Natanguliza shukurani:-
Mkuu mimi niko Dubai kabla sijakushauri bado najiuliza hizo accesories unahitaji mzigo wa ukubwa gani ambayo itakupa faida ya kufidia gharama zako.

Maana kumbuka ukienda Dubai na kurudi utateketeza kati ya milioni 3 hadi 4.

Sasa tuliza kichwa ufikirie upya je huo mzigo wa accesories ukishauza itarudisha hizo gharama.

Kama jibu ni ndio unaweza kunicheki pm tujadili kwa mapana zaidi
 
Back
Top Bottom