Msaada wa Connection ya kibarua chochote

Msaada wa Connection ya kibarua chochote

Nyamalapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
211
Reaction score
469
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo

Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote ili niweze kuisadia familia yangu nikiwa na maana ya mke na watoto pamoja na mzazi wangu ambae ni mjane.

Elimu yangu ni form 6 ila pia najua kutumia computer.

Hata kama ni kibarua cha kulipwa kwa siku nipo tayari na sichagui kazi ilimradi tu ni kazi halali.

Mimi ni raia mwaminifu na sijawahi kushtakiwa kwa kosa la aina yoyote katika kipindi chote cha maisha yangu kuanzia utoto mpaka hapa nilipofikia.

Hata kama kuna mtu anaweza nipa connection ya nje ya nchi pia nipo tayari ilimradi tu niweze kuisaidia familia yangu mahitaji madogo madogo.

Kwa mtu yeyote ambae yupo tayari kunisaidia anaweza kuja inbox ili nimpe mawasiliano yangu.

Natanguliza shukrani kwa yeyote atakaeweza kunisaidia.

Mimi naishi Dar Es Salaam

Ahsanteni
 
Samahani mkuu....
Minaona kama umejieleza zaidi ili upate kuhurumiwa, lakini haujajieleza ili upate kusaidiwa kwa wewe kusema kile unacho weza kukifanya, haujasema upo mkoa gani, taja aina ya kazi/kibarua kama ujenzi, kipiga debe, kulima ama uliwahi kujishughulisha na nini hapo kabla.
Lakini pia unapokua na shida ama changamoto nashauri ungeweka mawasiliano yako hapa kuliko PM
 
Samahani mkuu....
Minaona kama umejieleza zaidi ili upate kuhurumiwa, lakini haujajieleza ili upate kusaidiwa kwa wewe kusema kile unacho weza kukifanya, haujasema upo mkoa gani, taja aina ya kazi/kibarua kama ujenzi, kipiga debe, kulima ama uliwahi kujishughulisha na nini hapo kabla.
Lakini pia unapokua na shida ama changamoto nashauri ungeweka mawasiliano yako hapa kuliko PM
Kama unaona nimejieleza ili nipate kuhurumiwa hayo mawazo yako na nayaheshimu.

Ila unaonekana umeamua tu kunikosoa sababu nimeshasema nipo Dar Es Salaam lakini wewe unasema sijasema nipo mkoa gani sasa huoni huna msaada na mimi ila umeamua tu kukosoa nilichokiandika.
 
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo

Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote ili niweze kuisadia familia yangu nikiwa na maana ya mke na watoto pamoja na mzazi wangu ambae ni mjane.

Elimu yangu ni form 6 ila pia najua kutumia computer.

Hata kama ni kibarua cha kulipwa kwa siku nipo tayari na sichagui kazi ilimradi tu ni kazi halali.

Mimi ni raia mwaminifu na sijawahi kushtakiwa kwa kosa la aina yoyote katika kipindi chote cha maisha yangu kuanzia utoto mpaka hapa nilipofikia.

Hata kama kuna mtu anaweza nipa connection ya nje ya nchi pia nipo tayari ilimradi tu niweze kuisaidia familia yangu mahitaji madogo madogo.

Kwa mtu yeyote ambae yupo tayari kunisaidia anaweza kuja inbox ili nimpe mawasiliano yangu.

Natanguliza shukrani kwa yeyote atakaeweza kunisaidia.

Mimi naishi Dar Es Salaam

Ahsanteni
Fika Sinza Vatican kesho kabla ya saa NNE
 
Kama unaona nimejieleza ili nipate kuhurumiwa hayo mawazo yako na nayaheshimu.

Ila unaonekana umeamua tu kunikosoa sababu nimeshasema nipo Dar Es Salaam lakini wewe unasema sijasema nipo mkoa gani sasa huoni huna msaada na mimi ila umeamua tu kukosoa nilichokiandika.
Samahani kwa kuku kwaza mkuu, sikua nimeona hiyo Dar.
Mengine ni maoni yangu tu chief...🙏
 
Samahani mkuu....
Minaona kama umejieleza zaidi ili upate kuhurumiwa, lakini haujajieleza ili upate kusaidiwa kwa wewe kusema kile unacho weza kukifanya, haujasema upo mkoa gani, taja aina ya kazi/kibarua kama ujenzi, kipiga debe, kulima ama uliwahi kujishughulisha na nini hapo kabla.
Lakini pia unapokua na shida ama changamoto nashauri ungeweka mawasiliano yako hapa kuliko PM
Ni mawazo mazuri ila mwamba kakuchukulia kama hater.
 
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo

Nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kibarua chochote ili niweze kuisadia familia yangu nikiwa na maana ya mke na watoto pamoja na mzazi wangu ambae ni mjane.

Elimu yangu ni form 6 ila pia najua kutumia computer.

Hata kama ni kibarua cha kulipwa kwa siku nipo tayari na sichagui kazi ilimradi tu ni kazi halali.

Mimi ni raia mwaminifu na sijawahi kushtakiwa kwa kosa la aina yoyote katika kipindi chote cha maisha yangu kuanzia utoto mpaka hapa nilipofikia.

Hata kama kuna mtu anaweza nipa connection ya nje ya nchi pia nipo tayari ilimradi tu niweze kuisaidia familia yangu mahitaji madogo madogo.

Kwa mtu yeyote ambae yupo tayari kunisaidia anaweza kuja inbox ili nimpe mawasiliano yangu.

Natanguliza shukrani kwa yeyote atakaeweza kunisaidia.

Mimi naishi Dar Es Salaam

Ahsanteni
Kuwa na amani kiongozi wala hakuna tatizo.
0753216888
 
samahani mkuu Mshana Jr naomba nichukue mawasiliano yako ila sababu ya kuchukua ni swala zima la ajira nami nipate chochote kitu naimani unauwezo wa kuni shika mkono kwa namna yoyote.
Pouaa chukua bila shaka ila nipigie wakati na siku za kazi
 
Back
Top Bottom