Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
wakuu heshima mbele!mm niliandika dissertation yangu!superviser kanitaka ni analyse data kwa kutumia higher order statistic methods!ni zipi hizo anazotaka?najua Jf ni kiboko yao!ntapata jibu!nawasilisha wakuu kwa msaada wenu