Msaada wa dawa au vyakula vinavyofanya mtoto arefuke haraka

Msaada wa dawa au vyakula vinavyofanya mtoto arefuke haraka

Teamanaconda

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2013
Posts
602
Reaction score
564
Wakuu heshima kwenu,hii mada nimeileta jukwaani kwa wataalam zaidi,kuna mtu alikuwa anasema kama mtoto ni mfupi na yupo chini ya miaka miwili kuna vyakula au dawa ukimpa anarefuka haraka,je hii ni kweli?
 
Uliacha kumuuliza huyo aliyesema unakuja uliza huku au umekuja kutujuza? Labda aina mojawapo ya chakula ni kinyesi cha ng'ombe unampa kijiko kimoja kutwa mara tatu
 
Hizi avatar zengine hiyo kitu hakuna bana inategemea na wazee walivo maumbile siku zote niyakuridhi
 
huyo jamaa labda alitaka kukuibia hela.
 
He heee! Biblia inasema hata mtu akijisumbua vipi hawezi kuongeza urefu waje hata nchi moja...
 
Kama wazazi wake wote ni wafupi haina namna mtoto akawa mrefu.


Huwa wanasema ingawa sina uhakika kwamba maziwa yanasaidia kumfanya mtoto awe mrefu.

Kimo cha wazazi ndio hitimisho.
 
Mlishe zaidi ya zaidi matunda na mboga mboga za majani..ukiweza soya si mbaya sana usipende kumpa vyakula vya wanga kwa wingi...akifikisha miaka 16 itabaidi huwe unapanda kwenye kiti kwanza kuweza kuzungumza naye
 
Mnanichekesha. Hivi hawa wazazi pimbi hivi wanatokea wapi.
 
Wewe shida yako urefu au mtoto?kama kungekuwa na uwezekano Evodia wa Futuhi asingekuwepo.

No way Mungu alitaka ujue kuwa yupo.
 
mkuu wakati anaendelea kukua mfanyishe mazoez ya kurukaruka like Basket boll au netboll
 
Back
Top Bottom