1. Arovela - kata kata vipande vidogo vidogo weka kwenye maji siku tatu ; kisha kunywa kikombe kidogo kimoja mara moja kwa siku saba
AU.
2. Kwa kuanzia kwa kuwa imeshakomaa tumia mbegu za mlonge 3x3x7 ila kila mbegu tatu lazima unywe maji lita moja; na maji siyo lazima unywe kwa mpigo unaweza kunywa kidogo kidogi ili mradi mbegu tatu ziende na maji lita moja.
baada ya hapo juu endelea na hii hapa
3. Unga wa mlonge kijiko cha chai weka kwenye maji ya uvuguvugu wa mbali, tumia muda mrefu.
copy
MziziMkavu.