Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 655
- 1,069
Jamani mwenye kujua dawa ya Driclor inapopatikana kwa Mbeya na Dar anijuze ni maduka yapi maana nimetafuta hadi nimechoka. Kila nikienda dukani wanasema labda ni jina la kampuni.
Naomba nisaidiwe tafadhali.
Naomba nisaidiwe tafadhali.