frem zero
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 595
- 875
Habari zenu wakuu.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Jamani mwenzenu nina matatizo ya meno kutoboka. Mwaka jana nimeng`oa meno mawili ya Chini , jambo la kusikitisha mwaka huu tena ninaumwa meno mawili tena yaani yananiuma hadi kupelekea masikio kuuma.
Meno haya yanauma wakati wa kula chakula pekee. Hivi sasa hata nikiona chakula naanza kufikiria maumivu ya meno sina raha kabisa. Kama kuna mtu anajua dawa ambayo itanisaidia anieleze , naogopa kuwa kibogoyo kabla sijafikisha hata miaka 30.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Jamani mwenzenu nina matatizo ya meno kutoboka. Mwaka jana nimeng`oa meno mawili ya Chini , jambo la kusikitisha mwaka huu tena ninaumwa meno mawili tena yaani yananiuma hadi kupelekea masikio kuuma.
Meno haya yanauma wakati wa kula chakula pekee. Hivi sasa hata nikiona chakula naanza kufikiria maumivu ya meno sina raha kabisa. Kama kuna mtu anajua dawa ambayo itanisaidia anieleze , naogopa kuwa kibogoyo kabla sijafikisha hata miaka 30.