Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Usilishike shike
Usiliangalie
Ukiona dalili za kutumbuliwa kimbia
me si mtaalam lkn nakushauri uende hospital ama wapo humu wa kukushauri njia mbadala wasubiriNashukuru mkuu ila limekaa pabaya na mume wangu ameshindwa,nisaidie njia mbadala zaidi ya kutumbua
uko wapi mkuu?Naomba msada wa kujuzwa dawa ya jipu bila ya kupasuliwa yani lipotee lenyewe asanteni
Mtafute mme mwingine akusaidie kulitumbua kama ni lazima utumbuliwe na mwanamme. Tofauti na kulitumbua laweza tokea sehemu mbaya zaidi hata kwenye utumbo.Nashukuru mkuu ila limekaa pabaya na mume wangu ameshindwa,nisaidie njia mbadala zaidi ya kutumbua
pole sana mkuu!Nashukuru mkuu ila limekaa pabaya na mume wangu ameshindwa,nisaidie njia mbadala zaidi ya kutumbua
Nashukuruu mkuu kwa ushauri wako ngoja niufanyie kazi ntakupa mrejeshopole sana mkuu!
FANYA HIVI; Tafuta vitunguu saumu,toa punje tatu,twanga/ponda hadi zibaki majimaji,pakaa ktk jipu na pembeni yake.
Acha ikaukie hapo kwa dk10 hivi,toa fanya hivi mara mbili kwa siku hadi upone