MSAADA WA DAWA YA KIDERI (Mdonde)

Kurutamjanja

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
396
Reaction score
374
Wadau naombeni kwa anayejua Dawa ya kutibu kuku huu ugonjwa wa kideri,nimekula kuku mpaka nimebloo,kuku wanapukutika kila dakika.nimetumia za madukani nahisi nazo ni wamezichakachua kwani hakuna hanayepata nafuu. banda lote wanaugua yani hapa friji imejaa na wanazidi kufa. Msaada tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…