Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa ni jipu na linarudi sababu kiini unakuwa haujakitoa. Au inaweza kuwa ni ingrown hair sababu ya kunyoa na uwembe ambayo imekuwa infected.Samahani kwa usumbufu napata kipele ukeni mwanzo kilianza Kama jipu nikawanalitumbua linatoka usaha lakn saiv umekuwa hivi je hii ni shida ganiView attachment 2682232
Mwambie tu mkuu, kwani ukimwambia akafanye usafi kuna shida gani..??😎Duhhh ngja waje
Sasa ukinyoa ndio upige picha unapungukiwa nn??? Kwa Hilo vuz* mtt wa kike utasubiri saaaanaSamahani kwa usumbufu napata kipele ukeni mwanzo kilianza Kama jipu nikawanalitumbua linatoka usaha lakn saiv umekuwa hivi je hii ni shida ganiView attachment 2682232
Huoni baridi au ?😅Sasa ukinyoa ndio upige picha unapungukiwa nn??? Kwa Hilo vuz* mtt wa kike utasubiri saaaana
Nashauri uende Kituo chochote cha Afya kilichopo karibu nawe.. Utapata msaada sahihi... ila Mimi naona ni Kipele cha kawaida tu.. its not a Wart/ other STDI symptoms...Samahani kwa usumbufu napata kipele ukeni mwanzo kilianza Kama jipu nikawanalitumbua linatoka usaha lakn saiv umekuwa hivi je hii ni shida ganiView attachment 2682232
Bora nyie wajuzi mu mwambie me nmeogopaMwambie tu mkuu, kwani ukimwambia akafanye usafi kuna shida gani..??😎
tumbua kisha chana na kiwembe kisafi, toa usaha na vuta hako kanywele(mzizi wake), toa damu inayofuata
chukua spirit mwagia
Paka volgate usiku ukiwa unalala usugue kwa siku 3 hutaona kipeleSamahani kwa usumbufu napata kipele ukeni mwanzo kilianza Kama jipu nikawanalitumbua linatoka usaha lakn saiv umekuwa hivi je hii ni shida ganiView attachment 2682232
Hivi ile dawa yakufanyia waxing inaitwaje.Sema shogare papa chafu, uwe unalifanyia waxing hata ya kienyeji [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo K yako imekaaje!! Mbona kama ipo tofauti na nyengine!!Samahani kwa usumbufu napata kipele ukeni mwanzo kilianza Kama jipu nikawanalitumbua linatoka usaha lakn saiv umekuwa hivi je hii ni shida ganiView attachment 2682232
Na wengine tunayapenda.Mi nahisi ni kawaida , hutokea ukinyoa huko
Nyie mnaokazania anyoe mavuzi badala ya ushauri mnashangaza!!! et mchafu kwahiyo pawe na kipara?? Fuga vuzi asikutishe mtu yanakazi yake hayo ..
wanataka kila siku uwe unaparura mavuzi ndo mana vinatoka vijipu