Msaada wa dawa ya kuzibua shimo la choo

Msaada wa dawa ya kuzibua shimo la choo

Njugu mawe

Member
Joined
Sep 8, 2023
Posts
33
Reaction score
33
Shimo la choo likijaa naonaga kuna dawa zinatangazwa zinazozibua choo kikiziba, nazihitaji wakuu, napataje

Mfano hapo chini.
Screenshot_20240607-124840.png
Screenshot_20240607-124730.png

Screenshot_20240607-124732.png

 
Mwaga Mavi ya Mzee wa Miaka 90+ ni Dawa nzuri sana ya kuzibua vyoo vilivyoziba, Mavi ya kale hayanuki, kisipozibuka mwambie anye tena kitazibuka tu, walisema mtu mzima Dawa kwa hio Dawa Choo lazima kiombe poo KESHO tu utakikuta kipo safi km kipya
 
Chukua Bicarbonate of soda mwagia chooni Chalo kilichojaa halafu funika hicho choo. Kesho utaukuta hakuna mizigo
Sawa sawa, lakini hii ni sink limeziba, je napo itasaidia?
 
Mwaga Mavi ya Mzee wa Miaka 90+ ni Dawa nzuri sana ya kuzibua vyoo vilivyoziba, Mavi ya kale hayanuki, kisipozibuka mwambie anye tena kitazibuka tu, walisema mtu mzima Dawa kwa hio Dawa Choo lazima kiombe poo KESHO tu utakikuta kipo safi km kipya
Hii ni fix kabisa 😃😃😃
 
Ujenz wa hovyo husababisha adha ndogo ndogo kama hiz.
Toka kwenye retainer ya maji inayofungwa kwa nje kupokea uchafu na kuupeleka kwenye chamber ndogo ya kwanza, ilipaswa kufungwa c-shaped connector ambayo ina mfuniko wa kufunguka.

Kwa kesi kama hii ungefungua tu mfuniko na kutikisa kidogo tu, usingehitaji hata kuita fundi.
 
Ujenz wa hovyo husababisha adha ndogo ndogo kama hiz.
Toka kwenye retainer ya maji inayofungwa kwa nje kupokea uchafu na kuupeleka kwenye chamber ndogo ya kwanza, ilipaswa kufungwa c-shaped connector ambayo ina mfuniko wa kufunguka.

Kwa kesi kama hii ungefungua tu mfuniko na kutikisa kidogo tu, usingehitaji hata kuita fundi.
Mkuu unaweza kuweka picha zake?
Vinapatikana hardware?unaviuliziaje na bei
 
Back
Top Bottom