Pole kwa matatizo hayo ya macho yanayokusumbua.....Habari wadau, mimi ni member mpya wa jamii forums. Naomba msaada wa dawa zinazotibu;
Presha ya Jicho
1. Je dawa gani ni nzuri
2. Mtumiaji anatumia kwa muda gani?
3. Matokeo yana anza kuonekana baada ya muda gani?
Mtoto wa jicho
1. Je dawa gani ni nzuri
2. Mtumiaji anatumia kwa muda gani?
3. Matokeo yana anza kuonekana baada ya muda gani?
Natanguliza shukrani.
Nashukuru sana Mkuu tuko pamoja sana....@theriogenelogy asante kwa madini hayo mkuu, uko vizuri.
Ahsante sana,nina kushukuru kwa maelezo yako yaliyojitosheleza, nimejaribu kutafuta thread uliyozungumzia presha ya macho lakini sijafanikiwa kuiona.Pole kwa matatizo hayo ya macho yanayokusumbua.....
Hivyo bhasi kwanza tufahamu nini maana ya mtoto wa jicho; Hii ni condition ambayo mara nyingi hushambulia lens ya jicho na hivyo hupelekea kutengeneza ukungu (cloudiness) katika lens ya jicho na hivyo kwa hapo baadae ikishindikana kurekebishwa yaweza sababisha upofu.....
Mara nyingi condition hii huathiri au kushambulia cell mbalimbali za lens na hivyo kuzifanya kupoteza maji, kusinyaa na hivyo kupandiana na hivyo kutengeneza ukungu fulani katikati ya lens hivyo jicho kushindwa kuakisi mwanga vilivyo na hivyo hupelekea mtu ambaye ana ugonjwa huu kushindwa kuona vitu vizuri.....
Vifuatavyo vyaweza sababisha mtoto wa jicho; Yaweza kuwa ya kurithiwa, Yaweza kumtokea mtu mwenye kisukari, upungufu wa calcium (Hypocalcium), kuwa na lishe mbovu, Kuharibiwa kwa layer ya katikati ambayo hutenganisha retina ya jicho na sclera hizo ni baadhi tu....
Upimaji wa macho ili kuweza kubaini tatizo ni kwa kutumia kifaa kinachoitwa ophalmoscopy kujua response ya jicho kwa mwanga na pia kulichunguza jicho kwa ukaribu kubaini kama lina tatizo kwa kujaribu kama kuligusa na lisipojaribu kufunga jua kuna tatizo (menace reflex) na pia kwa kutumia mwanga wa tochi kumulikia kwa jicho na jaribu kuchunguza pupil kama itapungua na kuwa ndogo then jua hakuna tatizo but kama isipoonesha mabadiliko yoyote jua ya kuwa kuna tatizo mgonjwa anaweza kuwa na mtoto wa jicho (pupillary light reflexes test)....
Jinsi ya kuondoa tatizo ni kufanyiwa operation (Extra-capsular lens extraction ) na pia kwa kutibu magonjwa nyemelezi ya jicho.....
Hitimisho
Kila la kheri kuhusiana na presha ya jicho nishaeleza kwenye post fulani humu ndani jaribu kuitafuta....
- Kula mlo kamili ambao una vitamin A na protein za kutosha
- zingatia usafi wako binafsi na wa mazingira yanakuzunguka
- Na ukijaribu kutumia dawa kwa ajili ya kutatua matatizo yako ya macho sharti uwe chini ya mtaalamu
- Kwa condition yako hapo juu nakushauri nenda kwa hospitali ya rufaa kwa uchunguzi zaidi
- usije jaribu kutumia dawa za miti shamba kuweka katika jicho lako
Pressure ya macho ndio nini ?Ahsante sana,nina kushukuru kwa maelezo yako yaliyojitosheleza, nimejaribu kutafuta thread uliyozungumzia presha ya macho lakini sijafanikiwa kuiona.
Ahsante nimeona, ninawezaje kuitibu?, nilifanya vipimo nikaambiwa ya kwamba bado uono wangu hauja athiriwa na presha ya jichoPressure ya macho ndio nini ?
Nashukuru sana Mkuu... embu jaribu kucheki na hiyo link hapo juu
Kama ulienda kupima macho yako halafu wakakuambia hakuna tatizo..... then hakuna haja ya kujitibu mkuuAhsante nimeona, ninawezaje kuitibu?, nilifanya vipimo nikaambiwa ya kwamba bado uono wangu hauja athiriwa na presha ya jicho
mkuu nilipimwa presha ya macho na nikaambiwa kwamba ipo, then next step ilikuwa nikupima tena iwapo kuna madhara yoyote yaliyoletwa na presha hiyo,baada ya vipimo ikaonekana ya kwamba mpaka sasa presha hiyo haijaleta madhara katika uwezo wangu wa kuona. Nategemea kurudi tena kwa ajili ya vipimoKama ulienda kupima macho yako halafu wakakuambia hakuna tatizo..... then hakuna haja ya kujitibu mkuu
kwa sababu ishu ya glaucoma iko sensitive sana ndio maana wanashauri mara nyingi uende kwa hospitali za rufaa kwa vipimo na msaada zaidi
Dawa za Maradhi yote hayo ninazo ukihitaji nitafute kwa wakati wako.Habari wadau, mimi ni member mpya wa jamii forums. Naomba msaada wa dawa zinazotibu;
Presha ya Jicho
1. Je dawa gani ni nzuri
2. Mtumiaji anatumia kwa muda gani?
3. Matokeo yana anza kuonekana baada ya muda gani?
Mtoto wa jicho
1. Je dawa gani ni nzuri
2. Mtumiaji anatumia kwa muda gani?
3. Matokeo yana anza kuonekana baada ya muda gani?
Natanguliza shukrani.
Aksante mkuu kwa ushauri wako.Pole kwa matatizo hayo ya macho yanayokusumbua.....
Hivyo bhasi kwanza tufahamu nini maana ya mtoto wa jicho; Hii ni condition ambayo mara nyingi hushambulia lens ya jicho na hivyo hupelekea kutengeneza ukungu (cloudiness) katika lens ya jicho na hivyo kwa hapo baadae ikishindikana kurekebishwa yaweza sababisha upofu.....
Mara nyingi condition hii huathiri au kushambulia cell mbalimbali za lens na hivyo kuzifanya kupoteza maji, kusinyaa na hivyo kupandiana na hivyo kutengeneza ukungu fulani katikati ya lens hivyo jicho kushindwa kuakisi mwanga vilivyo na hivyo hupelekea mtu ambaye ana ugonjwa huu kushindwa kuona vitu vizuri.....
Vifuatavyo vyaweza sababisha mtoto wa jicho; Yaweza kuwa ya kurithiwa, Yaweza kumtokea mtu mwenye kisukari, upungufu wa calcium (Hypocalcium), kuwa na lishe mbovu, Kuharibiwa kwa layer ya katikati ambayo hutenganisha retina ya jicho na sclera hizo ni baadhi tu....
Upimaji wa macho ili kuweza kubaini tatizo ni kwa kutumia kifaa kinachoitwa ophalmoscopy kujua response ya jicho kwa mwanga na pia kulichunguza jicho kwa ukaribu kubaini kama lina tatizo kwa kujaribu kama kuligusa na lisipojaribu kufunga jua kuna tatizo (menace reflex) na pia kwa kutumia mwanga wa tochi kumulikia kwa jicho na jaribu kuchunguza pupil kama itapungua na kuwa ndogo then jua hakuna tatizo but kama isipoonesha mabadiliko yoyote jua ya kuwa kuna tatizo mgonjwa anaweza kuwa na mtoto wa jicho (pupillary light reflexes test)....
Jinsi ya kuondoa tatizo ni kufanyiwa operation (Extra-capsular lens extraction ) na pia kwa kutibu magonjwa nyemelezi ya jicho.....
Hitimisho
Kila la kheri kuhusiana na presha ya jicho nishaeleza kwenye post fulani humu ndani jaribu kuitafuta....
- Kula mlo kamili ambao una vitamin A na protein za kutosha
- zingatia usafi wako binafsi na wa mazingira yanakuzunguka
- Na ukijaribu kutumia dawa kwa ajili ya kutatua matatizo yako ya macho sharti uwe chini ya mtaalamu
- Kwa condition yako hapo juu nakushauri nenda kwa hospitali ya rufaa kwa uchunguzi zaidi
- usije jaribu kutumia dawa za miti shamba kuweka katika jicho lako