Msaada wa diet tafadhali


Sorry wandugu, nimekosea kweli vipimo, ilibidi nimpime na nimetumia vipimo vya centimeters... ana 137cm na uzito ni huo wa 70
 
Sorry wandugu, nimekosea kweli vipimo, ilibidi nimpime na nimetumia vipimo vya centimeters... ana 137cm na uzito ni huo wa 70

AISEE KWA HALI HII HUYO JAMAA ANA OBESITY TYPE 3

BMI YAKE NI 37.3 ambayo according to who na unicef huyu jamaa anahitaji msaada wa kupunguza uzito.

kwa urefu wake HUYO JAMAA HATAKIWI KUWA NA UZITO ZAIDI YA 50kg. hii ni maximum.

mwambie aache kuendekeza misosi hiyo si afya ni ugonjwa.
 
Yeah hata mwenyewe ameuchoka ndo maana anatafuta altenatives
 
hakuna haja ya kufanya ile diet ya wiki mbili...inatakiwa abadili life style ,kwa mfano mimi nimeweza kucontrol uzito baada ya kubadili tabia ya kula pamoja na kufanya mazoezi minimum of 3 times a week...kwa mfano kuhusu vyakula,usiku hakuna haja ya kula sana vyakula vigumu kuwa digested kama wali ,ugali nk....labda kidogo tu.....sanasana ni matunda na mbogamboga.....mimi nimeweza kukata kilo 7 ndani ya mwezi mmoja baada ya kubadili life style.....
 
POINT OF CORRECTION MKUU,

BmI ISIPUNGUE 18.5 na isizidi 24.5. beyond hii then ndo wanasema kuwa ni overweight,then obesity type one,two,three.

Mkuu, heshima mbele.

Tafadhali nijuze BMI maana yake nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…