Msaada wa dozi ya typhoid

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
877
Wakuu naombeni msaada wa jinsi ya kutumia hii dawa ya CIPLO kwa ajili ya typhoid.

Nimemtuma mtoto duka la madawa,kaleta imeandikwa 1×2 sasa apa sielewi ninameza vipi
 
Siku Ina masaa 24:-Hivyo ikiandikwa 1 mara 2 tafsiri yake 1 Kila baada ya masaa 12!
Hii ya asubuhi na jioni inapelekea kumeza dawa nyingi muda fulani na pungufu muda mwingine.
 
Kwa kuwa hii ya India ciplo 500gm nilitumia ilinisumbua sana kupona mpaka nilipo badilisha dose
Ok poa ila badili hapo kwenye 500gm weka 500mg maana mtu mwingine anaweza akazitafuta hizo 500gm akazibugia ikawa balaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…