Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Nina ndugu yangu yeye anaishi nje ya Tanzania siku ya jumamosi alinitumia hela ya iddy kupitia bank na halafu akanitumia picha za pay in slip.
Sasa shida yangu ni kubwa ni moja na shida na hizi hela ya haraka harafu bank wameniambia baada ta masaa 72 yaani kuanzia leo jumanne maana jumamosi na jumapili siyo siku za kazi.
Ila kuna mtu ameniambia kuwa ukiwa na payinslip ukienda bank ukawaonyeshea wanaweza kukupa hela zako ulizotumiwa. Sasa hapa nauliza ili jambo ni la kweli maana kutoka hapa napo kaa hadi kupata bank ni mbali kidogo maana ningeenda kuulizia bank kama kuna mtu mwenye kujua naomba anisaidie
Sasa shida yangu ni kubwa ni moja na shida na hizi hela ya haraka harafu bank wameniambia baada ta masaa 72 yaani kuanzia leo jumanne maana jumamosi na jumapili siyo siku za kazi.
Ila kuna mtu ameniambia kuwa ukiwa na payinslip ukienda bank ukawaonyeshea wanaweza kukupa hela zako ulizotumiwa. Sasa hapa nauliza ili jambo ni la kweli maana kutoka hapa napo kaa hadi kupata bank ni mbali kidogo maana ningeenda kuulizia bank kama kuna mtu mwenye kujua naomba anisaidie