Ntozi JF-Expert Member Joined Feb 1, 2021 Posts 226 Reaction score 300 Sep 22, 2021 #1 Naomba kujua garage nzuri mjini mbeya kwa magari madogo.Au kama kuna mtu anamfahamu fundi mzuri wa magari madogo Mbeya mjini tafadhali.
Naomba kujua garage nzuri mjini mbeya kwa magari madogo.Au kama kuna mtu anamfahamu fundi mzuri wa magari madogo Mbeya mjini tafadhali.
byakunu JF-Expert Member Joined Sep 13, 2016 Posts 583 Reaction score 1,318 Sep 27, 2021 #2 Nenda njia ya teku kule nyuma kwenye garage ya Madaraka kuna jamaa mmoja fundi mzuri sana anaitwa Ima. Ukimkosa huyo kaulizie gereji yoyote ukanda huo
Nenda njia ya teku kule nyuma kwenye garage ya Madaraka kuna jamaa mmoja fundi mzuri sana anaitwa Ima. Ukimkosa huyo kaulizie gereji yoyote ukanda huo