mlowola Member Joined Jan 1, 2014 Posts 90 Reaction score 57 Sep 12, 2015 #1 Amani iwe kwenu wana J.F. Nataka kuagiza gari toka Japan, IST, 1290cc, ya mwaka 2006. Naombeni msaada wa gharama halisi za kutoa gari bandarini (Dar) hadi uwanjani kwangu. Nawasilisha.
Amani iwe kwenu wana J.F. Nataka kuagiza gari toka Japan, IST, 1290cc, ya mwaka 2006. Naombeni msaada wa gharama halisi za kutoa gari bandarini (Dar) hadi uwanjani kwangu. Nawasilisha.
Kamanda wa Kweli JF-Expert Member Joined Jul 13, 2014 Posts 1,448 Reaction score 845 Sep 18, 2015 #2 Duh....kwa hiyo wazoefu wote wamekimbilia kwenye siasa!!! Lol
prakatatumba JF-Expert Member Joined Oct 17, 2011 Posts 1,328 Reaction score 191 Sep 18, 2015 #3 katika kuagiza gari kuna gharama zifuatazo, 1. CIF au C and F ila nashauri fuata CIF, 2. Gharama za TRA , 3. Shippping line fee, 4. Port charges, 5. Agent fee
katika kuagiza gari kuna gharama zifuatazo, 1. CIF au C and F ila nashauri fuata CIF, 2. Gharama za TRA , 3. Shippping line fee, 4. Port charges, 5. Agent fee
S shaurimbaya JF-Expert Member Joined Oct 3, 2013 Posts 1,915 Reaction score 2,329 Sep 19, 2015 #4 haraka haraka andaa kama m12 hivi kila kitu