Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu. Naomba kujuzwa gharama za x-ray.
Habari wakuu. Naomba kujuzwa gharama za x-ray.
Vituo vya kutolea tiba vya serikali haizidi 15,000 na private nadhani nako haizidi 30,000Habari wakuu. Naomba kujuzwa gharama za x-ray.
Sio mjuzi ndo mana, ila nimeuliza maana anayehotaji anataka apigwe x-ray kwenye koo. Nimeamua kufanya japo makadrio ya gharama kabla sijampeleka hospitali, tawi la kcmc huko bombo.Swali lako lipo general sana.. bei zinategemeana na aina ya hospital na aina ya X ray