Kuanzia 2.7 ndo minimumu recquirement.
nataka kujua ili uchaguliwe kua mwalimu wa secondary wanataka kuanzia gpa ngapi uweze kupata post
asante mkuu je zile mark za tp zinakua ngapi na zinaingiaje kwa mfano masomo ukipiga hesabu ya gpa ukapata 2.6 marks za tp zinakuaje