Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
Habari wote,ni mara ya kwana kuingia jukwaa hili naomba kujuzwa sheria makazini.je sheria inaruhusu mke na mume kukaa ofisi moja,mfano wote mabanker,madoctor nk...na pia je sheria inakataza mke anapokuwa kazini mkoa flani na mume mkoa mwingine tofauti je wanaweza kupewa uhamisho ili wawe pamoja.hapa nina scenario mbili tatu,ya kwanza mmoja alinyimwa uhamisho kumfata mumewe kisa wote watakuwa ofisi moja,na nyingine mwingine alinyimwa uhamisho japo ni ofisi tofaut kisa hakuna sheria inayoruhusu mtu kupewa uhamisho kumfata mumewe,je ni kweli haki hyo haipo tena?asanteni