Sheria mpya za kazi, ELRA 6/2004, ipo silent. Haitamki kabisa suala la mume na mke isipokuwa tu katika kuzungumzia kifo, au wanapojaliwa mtoto. Katika taasisi binafsi, hili unalozungumza halina nafasi.
Kwa upande wa government, kuna Standing Orders, na kwa kuwa wigo wa taasisi za serikali ni kubwa, kwa uchache hilo suala laweza kupata hekima za kisheria.