VENTURECACHER
Member
- Oct 24, 2011
- 38
- 8
warudishie..guarantee mwaka..simu haijafikisha hata wiki..wamekuuzia korokoro.Ndio bado ipo lakini inakuwaje umetoaa hela kamili na umenunua kitu kipya kinatengenezwaa mara ya kwanza na kinaharibika tena wakti bado simu mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamini mkuu. HazifaiiiiSiku nyingine usinunue TECNO simu mbaya sana hizo..
unadhani wanaweza kumrudishia hela yake??warudishie..guarantee mwaka..simu haijafikisha hata wiki..wamekuuzia korokoro.
safari hii uwe mkali..waambie kabisa simu mloniuzia mbovu siwez gharamika tena.wakupe hela yako..
kweli mkuu..TECNO ni simu za kukufundisha kutumia Smartphone tu...
wengine wanakubali..ni halali yako.unadhani wanaweza kumrudishia hela yake??
labda akajaribuwengine wanakubali..ni halali yako.