hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 20
hv jmn hizi combi za 4m 4 Mi ht czelewi. Mf m2 ukipt 'F' ktk maths na bios n then mwsho wa cku ukawa na 3 ya 24. Je unaweza ukapigwa penati? Nisaidieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hv jmn hizi combi za 4m 4 Mi ht czelewi. Mf m2 ukipt 'F' ktk maths na bios n then mwsho wa cku ukawa na 3 ya 24. Je unaweza ukapigwa penati? Nisaidieni
Unataka msaada, andika kama uliingia darasani. Wengi wanaoweza kukusaidia humu ndani watakudharau kuwa husaidiki kwa lugha yako hii!!!! Mimi nikiwa mmoja wapo.
Hivi mnavyoandika, tena wakati unatafuta msaada, maana yake nini? Hii lugha itawakosesha mengi. Jamvi hili lina watu wanaotathmini na kuchambua hoja. Sasa huu ujinga sio mahalipake.
kaulize mwalimu aliyekufundisha km kweli ulihitimu f4:smile-big::smile-big:
dah! Sijui hata nisemaje tatizo wengine tushazoea kuchat facebook nd'o maana tumeharibika kwa lugha hizi. Nsaidie kama unaweza?
Hapa sio Fb, kama vipi rudi kwanza Fb ukaulize namna nzuri ya uandishi kwa mataahira wenzako.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
hata wewe unaweza kunijibu kama unaweza.
anachapwa penalt kwenda division inayofata i.e 4 ya mwisho!
hv jmn hizi combi za 4m 4 Mi ht czelewi. Mf m2 ukipt 'F' ktk maths na bios n then mwsho wa cku ukawa na 3 ya 24. Je unaweza ukapigwa penati? Nisaidieni
dah! Sijui hata nisemaje tatizo wengine tushazoea kuchat facebook nd'o maana tumeharibika kwa lugha hizi. Nsaidie kama unaweza?