Msaada wa haraka jamani

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642
nina rafiki yangu yuko chuo kimoja maarufu hapo tz ana mvulana wake na yy pia ni mwanafunzi ila chuo ikoiko
anampenda sana mvulana wake ila hamuamini sana kwasababu ya vitendo vya huyo bwana kuonesha kua ana wasichana wengine anawasiliana nao fb kupita kiasi na some times ktk simu pia ila kila akimuuliza jamaa anasema hana mahusiano nao bali anawatania tu na hana mpango nao...........ila kitendo iko kimekua kikimuudhi sana rafiki yangu na hua kila nikiongea naye analalamika tu juu ya mvulana wake
mawasiliano yenyewe yako ivi mana alinikopia ili nione mana nilikua siamini koz jamaa ni mpole mnoo na smart sana ktk mambo yake
mkaka:mambo dada
mdada😛oa vipi
mkaka:umeolewa
mdada:hapana kwani vp
mkaka:unaonaje nikikuoa mm jamani
mdada:khaa! hata hunijui loh!
mkaka:nitakujua nikikuona na sasa hapa si ndio mwanzo wa kujuana we niambie uko wapi nikufuate kila kitu juu yangu (kuhusu garama usijali)
yani yy mda wote ni anachati na wadada na kuadd wadada tu ktk fb yake na cm yake na akiulizwa eti anasema nawaenjoy tu hana mpango nao wala nn
sasa alimpaga rafiki yangu password yake ila rafiki yangu hakua anaangali hata cku moja isipokua jana alimtumia text mkaka akakaa mda mrefu bila kujibu na anaonekana hewani rafiki yangu akaingiwa na wasiwasi akaamua kuingia fb ya mkaka ndio kumkuta anaongea na dada mmoja ili amfuate aliko na tax aje kulala kwake yule rafiki yangu alichofanya akamtumia yule kaka text kua leo hatuwez kuoana nitakua kikaoni na wenzangu ktk chama cha wanawake so nitakuona kesho yule kaka hakujibu kitu rafiki yangu akaaa akaamua kutoka nje anamuona jamaa anachukua tax anampigia simu na kumuuliza uko wapi anasema niko sehemu nafanya kazi za shule
yy rafiki yangu akamwambia ww fanya utakavo mm sikuzuii wala kukulazimisha kua na mm nenda kamfate huyo unayemfata aje kulala kwako kaka akajibu mbona sikuelewi rafiki yangu akamwambia umesahau ulinipa password yako nimesoma vyote leo........kaka akaanza kujichekesha rafiki yangu akazima simu leo anaangalia password kaibadilisha tena na anamwambia eti nisamehe nakupenda sana wale mm sina mpango nao hata kidogo
sasa hajui afanyeje mana kumpenda anampenda mnooooooo si kidogo tatizo ni mkaka kupenda sana wanawake tena ambao hata hawajui ni wale wa kuwatafuta ili akakutane nao huko mana wote ni wa mtandaoni
MM BINAFSI NILITAKA KUMJIBU MUACHE MANA HATABADILIKA HUYO LABDA ANA PEPO LA NGONO ILA NIKAOGOPA so naomba majibu ya busara ili nimpatie rafiki yangu
natanguliza shukurani zangu za dhati kwa watakaotoa maoni yao
 
Dada naye angekuwa anacheat,siku hizi ukitoswa utaumia bure lazima uwe na extra ili ukitoswa usifiwe presha,ila ukijifanya umezama na kumwamini mtu mmoja utakufa presha bure.....mwambie huyo mdada achukulie poa,siku hizi hakuna haja ya kuumiza
kichwa kwa ajili ya mapenzi labda utaumia pale mmeoana
 
huyo dada anatakiwa kuyeya! chuoni siyo kuzuri sana asipokuwa makini anawekugraduate na AIDS ! Atafakari theni achukue hatua
 
Anataka ushauri gani tena hapo?ameshaonyeshwa na mungu kwamba jamaa ni cheater so hapo kuna mawili either anataka kuumia muda wote au anataka kuwa free
We mwambie achague kati ya hayo mawili
 
Kama ni wimbo,sasa tuko kwenye chorus. Jamaa kamwaga mboga, dada amwage ugali,maji ya kunawa ayamwagie kuzima jiko! Kha!
 
story ya kutunga na bado haina mvuto, alafu we ni graduate jifunze kujieleza jamii ikuelewe! kiswahili broken, ebu jaribu kuiweka katika english may be we will get u!
 
Mapenzi yana rani dunia.

Anataka ushauri gani hapo tena, kila kitu kipo wazi. Kuna mambo mengine hayahitaji ushauri.
 

kumbe????!
 
Yamenikuta kama haya,na nimeumizwa sana tena sana nimeamua kuacha kulazimisha mapenzi.Ingawa bado na maumivu tena sana lakini yatapoa na nitampata ataenifaa,
 
Yamenikuta kama haya,na nimeumizwa sana tena sana nimeamua kuacha kulazimisha mapenzi.Ingawa bado na maumivu tena sana lakini yatapoa na nitampata ataenifaa,

naomba nafas,niwe mpangaji moyoni mwako.
 
Sasa mpaka hapo huyu shostito haja shika mita? au anajitia mpofu sababu anapenda? na huko shule alifata kusoma sio kupenda,asome mapenzi hayaishi atakufa atayawacha.....
 
story ya kutunga na bado haina mvuto, alafu we ni graduate jifunze kujieleza jamii ikuelewe! kiswahili broken, ebu jaribu kuiweka katika english may be we will get u!

Kwa post 73 tangu ujiunge Juni mwaka huu, unatarajia kuelewa lugha ya humu MMU kweli!? Endelea kujifunza ndugu yangu, bado una safari ndefu!
 
Mawasiliano ya aina hiyo ndiyo mwanzo wa kusaliti mahusiano yao, huyo mwanaume mpaka hapo keshamsaliti mpenzi wake......... hahitaji ushahidi zaidi ya huo, yeye asepe zake tu...................
 
akufukuzaye hakwambii toka,njemba kama anampenda kweli rafiki yako then he should walk the talk or else amwonyeshe mlango wakutokea kabla hajaukwaa.
 
so asepe au ??????????
 
akufukuzaye hakwambii toka,njemba kama anampenda kweli rafiki yako then he should walk the talk or else amwonyeshe mlango wakutokea kabla hajaukwaa.
hahhaaaaaaaaaaaaaaaa ama kweli akufukuzaye hakwambii toka ila cha moto utakiona
 
Mawasiliano ya aina hiyo ndiyo mwanzo wa kusaliti mahusiano yao, huyo mwanaume mpaka hapo keshamsaliti mpenzi wake......... hahitaji ushahidi zaidi ya huo, yeye asepe zake tu...................
kwaiyo hata msamaha wake asiuzikilize sio ..........mana aweza badilika who knows
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…