Msaada wa haraka jamani

Freightliner

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
720
Reaction score
527
Wanajamvi naombeni mnijuze kuhusu suala la kubadilisha course chuo kikuu kwamba masharti yake yakoje,je!lazima upate mtu ndio mbadilishani ama ni tofauti na hivyo?
MSAADA WENU NI MUHIMU KWANGU
 
Mi ninachojua ni kwamba;
Utapaswa kuandka barua na kuomba kufanya hvyo.
Itategemea na chuo unachokwenda. Ngoja waje wengne wenye uzoefu zaidi.
 
Tembelea website ya TCU, wameweka utaratibu wa kufata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…