Juzi ucku nimemaliza dozi ya msetto ya mtu mzima, lakini cha kushangaza jana na leo dalili za malaria zinakuwa kama zinaanza upya, kichwa na mwili mzima kuniuma, sasa nachojiuliza inawezekana hii malaria haijaisha au??? Msaada plse, NB sipo dar na huku hakuna dengue, siitaji majibu kama hayo pls
Juzi ucku nimemaliza dozi ya msetto ya mtu mzima, lakini cha kushangaza jana na leo dalili za malaria zinakuwa kama zinaanza upya, kichwa na mwili mzima kuniuma, sasa nachojiuliza inawezekana hii malaria haijaisha au??? Msaada plse, NB sipo dar na huku hakuna dengue, siitaji majibu kama hayo pls
Mwanza boss