Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Napaka mafuta ya karafuu mama, nisamehe bure tu nduguyo
nauza mafuta ya wanaume kujipaka,inaondoa matatizo yote ya ngozi,yanarutubisha ngozi tu hayachubui ,hayana jasho.delivery ipo njoo pm ni original
Napaka mafuta ya karafuu mama, nisamehe bure tu nduguyo
ok shosti nimeisoma hii .hoho je?
ahaaa hadi puumbu nawekanamanisha karoti iwe ndefu ukisie mwenyewe urefu utakaokupendeza machoni pako !cubes zimekuwa too common mie nishazichokaga !kila la heri !kwenye pilau mama saga mwenyewe viungo!ila zile figo sijui zichome uwiiii! hyo supu mix na kichwa cha mbuzi asalaaleee
asante best nitajazia hukoMaujuzi mengine unayapata youtube bibie.... mimi mapishi mengi nimejifunzia huko yaan easy.
ila ngoja wajuzi waje.
sijaelewa mpenziNapaka mafuta ya karafuu mama, nisamehe bure tu nduguyo
ok shosti nimeisoma hii .hoho je?
nauza mafuta ya wanaume kujipaka,inaondoa matatizo yote ya ngozi,yanarutubisha ngozi tu hayachubui ,hayana jasho.delivery ipo njoo pm ni originalsijaelewa mpenzi
kubwa nadhani ndo zinakuwa nzuri hata nzima nzima aaaahhoho muhimu !weka shape utakayo !
kubwa nadhani ndo zinakuwa nzuri hata nzima nzima aaaah