the event
Member
- Nov 7, 2013
- 83
- 20
Salaam wanajukwaa..
Naomba msaada wenu kisheria wakuu...nitaeleza kwa kifupi kidogo ili nisiwachoshe.
Kuna boss wangu (Indian) aliniajiri yapata mwaka mmoja na miezi saba sasa...lakini wiki iliyopita kwa ghafla tu amenifukuza kazi hali ya kua namdai mshahara wa miezi minne (4) ya nyuma ambayo hakunilipa jumla namdai (3,500,000) biashara tuliyokua tunafanya no biashara ya kuuza simu (smartphones) na sababu kubwa anayotoa ni kwamba kampuni inadai sana watu nje na hao watu wanalipa kidogo kidogo hivyo yeye anataka madeni yake yalipwe papo hapo ambapo ni kinyume na makubaliano yetu tuliyoingia na hao watu tuliowakopesha...sasa ameona kwamba kwakua anadai sana nje (Anadai 10,000,000 tu) na kwamba sisi wafanyakazi (ambao mpka anatufukuza kazi tulikua tumebaki wawili tu wengine wapatao kumi walishaacha kazi mda mref na mishahara yao ambayo walikua wanadai ipatayo ya miezi miwili hawakulipwa mpka leo) tumeshindwa kazi kwasababu kampuni inadai sana nje
"ikumbukwe kwamba wakati tunaingia makubaliano na hao wakopeshwa ni yeye boss aliyetoa go ahead kwaba mali itoke na kwamba sisi tuwe tunakusanya tu paymemt zinazo patikana kisha tunampelekea"
sasa kwakua ameniachisha kazi bila taarifa ya mapema na bila malipo yoyote sasa mimi nimeamua kuliko kuachishwa kazi bila hata senti moja na wakati huo huo namdai mshahara wa miezi minne ni bora niende kisheria zaidi kudai haki yangu.
Lakini tatizo linakuja kwamba kila ninae kutana nae na kumuomba ushauri ananivunja moyo na kuniambia kwamba mahakama haiwezi kunisikiliza kwasababu sina mkataba wa ajira.
"ikumbukwe kwamba tangu tumeanza kazi mimi nikiwa mstari wa mbele pamoja na wafanyakazi wenzangu nimekua nikililia sana atupatie mkataba wa ajira lakini jibu nililokua nalipata ni kwamba (subiri nitawapatia,kama huwezi kusubiri acha kazi) na kwakua hali yangu ya maisha ni ngumu nikaamua kuendelea tu nakazi pasipo mkataba...
Lakini pia sababu nyingine ambayo kwa mtazamo wangu mimi ndiyo iliyomfanya atufukuze kazi na asitupe mkataba wa mda mref ni kwamba..
"yapata miezi wichache iliyopita mimi pamoja na mfanyakazi mwenzangu tulikuja kugundua njia chafu anayotumia kuingiza mali zake hapa dar es salaam pasipo kulipiwa kodi sasa kuna siku alifanya mistake ndogo sana ndipo mimi na work mate wangu tukagundua njia nzima anayotumia" sasa tangu ajue kwamba tunajua ndio figisu figisu zikaanza....
SWALI
1/ Je hakuna kifungu chochote cha sheria kinachonilinda mimi muajiriwa ambae nimeajiriwa kwa miezi nane bila mkataba dhidi ya muajiri wangu?
2/ Je ni kweli mahakama itatupilia mbali maombi yangu kwasababu sina mkata wa kuajiriwa?
3/ Nini cha kufanya ili nipate haki yangu ya mshahara pamoja na fidia ya kuachishwa kazi bila taarifa ya mapema??
Nina maswaliengi sana wakuu lakini naomba mnisaidie kwanza kwa hayo machache kwasababu kesho ndiyo siku niliyopanga kuanza process za kisheria.
NOTE: (Nimeamua kuja jamii forum kwasababu sina uwezo wa kumtafuta mwanasheria nikamlipa) hivyo naombeni msaada wenu kisheria wanajukwaa..
Asante.
===========
UPDATES
===========
Salaam wakuu..
Nashkuru kwa mchango wa kila mmoja wenu..na leo mapema nilifika ofisi za taasisi ya usuluhishi wa mambo ya ajira na nikaambiwa ili nipate fomu ni lazima niende ofisi za TUCTA ili nikapatiwe fomu namba moja...na nikawauliza kwamba " je hata kama sio mwananchama wa tucta nnaweza nikasaidiwa?" wakanambia "ndio" hivyo nikaenda ofisi ya TUCTA na nashkuru nikapatiwa fomu nikatoa kopi 3 na zote nikazijaza maelezo yanayofanana na nikaambiwa niirudishe fomu hyo taasisi ya usuluhishi na nikarudisha fomu hiyo na kwakua tuko wafanyakazi wawili wenye case moja inayofanana hivyo badala ya kuwa na copy 3 kila mtu tulishauriwa tunaweza kutumia hzo hzo 3 kujaza malalamiko ya watu wawili lakini lazima tuambatanishe na barua ya kujulisha taasisi kua ni case ya watu wawili wenye shitaka moja..
baada ya kufanya yote sawia kabisa nikaambiwa fomu zote niende nazo kwa muajiri azitie sign zote kisha moja nimiachoe abaki nayo na mbili nizirudishe kwenye taasisi ya usuluhishi..
KIKWAZO
Kikwazo kikaja kwamba nilipofika kwa muajiri kwakweli sikupenda maneno yake ya utetezi ambayo kwangu mimi naona yalijaa huruma na vitisho kidogo na hofu kwa mbali...hivyo nilipompatia mda wa kuzisoma nakala hizo alimaliza kuzisoma na kisha akaanza kunipaaelezo yake ya utetezi (NIME YA RECORD YOTE) na ilipofika mda wa kusign ili nirudishe aliniambia kwamba hawezi kusign mpka lawyer wake a sign hivyo kama naweza nimiachie zote au nisubiri atanipogia simu..nilipo jaribu kumshawishi ili a sign alikataa na hivyo kunilazimu kumuachia nakala moja iliwanasheria wake aisome na hivyo akimaliza atanipigia nikapewe sign japo najua fika ni mbinu ya kunichelewesha kwakua nafahamu kwamba lawyer hana na huo ndio ukweli fika wakuu japo mnaweza mkaniuliza nimejuaje..ila nimempatia mda aipitie yeye na kama ana lawyer wake na yeye aipitie...
Naomba msaada wenu kisheria wakuu...nitaeleza kwa kifupi kidogo ili nisiwachoshe.
Kuna boss wangu (Indian) aliniajiri yapata mwaka mmoja na miezi saba sasa...lakini wiki iliyopita kwa ghafla tu amenifukuza kazi hali ya kua namdai mshahara wa miezi minne (4) ya nyuma ambayo hakunilipa jumla namdai (3,500,000) biashara tuliyokua tunafanya no biashara ya kuuza simu (smartphones) na sababu kubwa anayotoa ni kwamba kampuni inadai sana watu nje na hao watu wanalipa kidogo kidogo hivyo yeye anataka madeni yake yalipwe papo hapo ambapo ni kinyume na makubaliano yetu tuliyoingia na hao watu tuliowakopesha...sasa ameona kwamba kwakua anadai sana nje (Anadai 10,000,000 tu) na kwamba sisi wafanyakazi (ambao mpka anatufukuza kazi tulikua tumebaki wawili tu wengine wapatao kumi walishaacha kazi mda mref na mishahara yao ambayo walikua wanadai ipatayo ya miezi miwili hawakulipwa mpka leo) tumeshindwa kazi kwasababu kampuni inadai sana nje
"ikumbukwe kwamba wakati tunaingia makubaliano na hao wakopeshwa ni yeye boss aliyetoa go ahead kwaba mali itoke na kwamba sisi tuwe tunakusanya tu paymemt zinazo patikana kisha tunampelekea"
sasa kwakua ameniachisha kazi bila taarifa ya mapema na bila malipo yoyote sasa mimi nimeamua kuliko kuachishwa kazi bila hata senti moja na wakati huo huo namdai mshahara wa miezi minne ni bora niende kisheria zaidi kudai haki yangu.
Lakini tatizo linakuja kwamba kila ninae kutana nae na kumuomba ushauri ananivunja moyo na kuniambia kwamba mahakama haiwezi kunisikiliza kwasababu sina mkataba wa ajira.
"ikumbukwe kwamba tangu tumeanza kazi mimi nikiwa mstari wa mbele pamoja na wafanyakazi wenzangu nimekua nikililia sana atupatie mkataba wa ajira lakini jibu nililokua nalipata ni kwamba (subiri nitawapatia,kama huwezi kusubiri acha kazi) na kwakua hali yangu ya maisha ni ngumu nikaamua kuendelea tu nakazi pasipo mkataba...
Lakini pia sababu nyingine ambayo kwa mtazamo wangu mimi ndiyo iliyomfanya atufukuze kazi na asitupe mkataba wa mda mref ni kwamba..
"yapata miezi wichache iliyopita mimi pamoja na mfanyakazi mwenzangu tulikuja kugundua njia chafu anayotumia kuingiza mali zake hapa dar es salaam pasipo kulipiwa kodi sasa kuna siku alifanya mistake ndogo sana ndipo mimi na work mate wangu tukagundua njia nzima anayotumia" sasa tangu ajue kwamba tunajua ndio figisu figisu zikaanza....
SWALI
1/ Je hakuna kifungu chochote cha sheria kinachonilinda mimi muajiriwa ambae nimeajiriwa kwa miezi nane bila mkataba dhidi ya muajiri wangu?
2/ Je ni kweli mahakama itatupilia mbali maombi yangu kwasababu sina mkata wa kuajiriwa?
3/ Nini cha kufanya ili nipate haki yangu ya mshahara pamoja na fidia ya kuachishwa kazi bila taarifa ya mapema??
Nina maswaliengi sana wakuu lakini naomba mnisaidie kwanza kwa hayo machache kwasababu kesho ndiyo siku niliyopanga kuanza process za kisheria.
NOTE: (Nimeamua kuja jamii forum kwasababu sina uwezo wa kumtafuta mwanasheria nikamlipa) hivyo naombeni msaada wenu kisheria wanajukwaa..
Asante.
===========
UPDATES
===========
Salaam wakuu..
Nashkuru kwa mchango wa kila mmoja wenu..na leo mapema nilifika ofisi za taasisi ya usuluhishi wa mambo ya ajira na nikaambiwa ili nipate fomu ni lazima niende ofisi za TUCTA ili nikapatiwe fomu namba moja...na nikawauliza kwamba " je hata kama sio mwananchama wa tucta nnaweza nikasaidiwa?" wakanambia "ndio" hivyo nikaenda ofisi ya TUCTA na nashkuru nikapatiwa fomu nikatoa kopi 3 na zote nikazijaza maelezo yanayofanana na nikaambiwa niirudishe fomu hyo taasisi ya usuluhishi na nikarudisha fomu hiyo na kwakua tuko wafanyakazi wawili wenye case moja inayofanana hivyo badala ya kuwa na copy 3 kila mtu tulishauriwa tunaweza kutumia hzo hzo 3 kujaza malalamiko ya watu wawili lakini lazima tuambatanishe na barua ya kujulisha taasisi kua ni case ya watu wawili wenye shitaka moja..
baada ya kufanya yote sawia kabisa nikaambiwa fomu zote niende nazo kwa muajiri azitie sign zote kisha moja nimiachoe abaki nayo na mbili nizirudishe kwenye taasisi ya usuluhishi..
KIKWAZO
Kikwazo kikaja kwamba nilipofika kwa muajiri kwakweli sikupenda maneno yake ya utetezi ambayo kwangu mimi naona yalijaa huruma na vitisho kidogo na hofu kwa mbali...hivyo nilipompatia mda wa kuzisoma nakala hizo alimaliza kuzisoma na kisha akaanza kunipaaelezo yake ya utetezi (NIME YA RECORD YOTE) na ilipofika mda wa kusign ili nirudishe aliniambia kwamba hawezi kusign mpka lawyer wake a sign hivyo kama naweza nimiachie zote au nisubiri atanipogia simu..nilipo jaribu kumshawishi ili a sign alikataa na hivyo kunilazimu kumuachia nakala moja iliwanasheria wake aisome na hivyo akimaliza atanipigia nikapewe sign japo najua fika ni mbinu ya kunichelewesha kwakua nafahamu kwamba lawyer hana na huo ndio ukweli fika wakuu japo mnaweza mkaniuliza nimejuaje..ila nimempatia mda aipitie yeye na kama ana lawyer wake na yeye aipitie...